Tunda Akinukisha Amwagia Povu Zito Casto.,.... Aanika meseji Zake Anazombembeleza Warudiane

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muuza nyago wa bongo fleva, Tunda Sebastian amwaga mapovu kwenye kurasa yake ya instagram, hii ni baada ya mpenzi wake wa zamani kumuwashia moto aachae kumchafua na kutumia jina lake kutafuta kiki.



Tunda ameshindwa kukaa kimya na kuamua kutoa siri zote za sms alizokuwa akimtumia na yeye kutomjibu.




“Mimi sio muongeaji na huwa siwezi uswahili kabisa lakini ukiona mpaka nachafua page yangu nakuweka ujue kuna vitu umeshindwa kujiheshimu!.



“Jamani huyu kaka sijawahi kuwa na tatizo nae, lakini kila kutwa naletewa maneno anayoyaongea kuhusu mimi shit wakati kwenye simu yangu halali siku ipite bila hajanipigia na kuniandikia ma-message, kutwa kupigia watu wangu wa karibu waongee na mimi.



“Una hali mbaya unataka kufa halafu ukiwa na wanao ofisini huko unaniongelea ujinga mwanamke wa starehe siwezi, sijui kuolewa, yani mambo ya kijinga!



“Yani mtu niliekutengeneza mwenyewe ujulikane leo hii nikuongelee kujibust🤣 unaakili wewe? Sema nakubust navoongea ivi sema sijali ndo nishakuambia sitaki simu zako sitaki message tulia kwenye mahusiano yako sahau kuhusu mimi mxieeew
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad