UN yatuma misaada ya dharura Somalia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Umoja wa Mataifa (UN) umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zinaendelea  katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kusababisha mafuriko.

Misaada hiyo imetumwa hasa katika Wilaya ya Beletweyne ambapo taarifa zinasema watu zaidi ya 270,000 wameachwa bila makazi baada ya nyumba zao kuharibika katika mafuriko.

Tayari helikopta imetumwa kusaidia shughuli za kibinadamu kati ya Beletweyne na sehemu zilizo karibu zilizoathiriwa vibaya na mafuriko kutoka Mto Shabelle ikiwemo familia 4,000 kutoka vijiji saba kwenye Wilaya ya Beletweyne.

Masauni alia na wananchi wanaoozea jela
Mvua kubwa na mafuriko yameendelea kuzikumba Somalia, Sudan Kusini na Kenya mwaka huu na Watabiri wa Hali ya Hewa wanatarajia mvua hizo kubwa zitaendelea kunyesha hadi Disemba.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad