AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika Chuo Kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria.
Kwa mujibu wa habari kutoka katika vyanzo vya nchi hio, mapigano hayo yalitokea baina ya makundi mawili ya wanafunzi, kutokana na vurugu hizo za mapigano zaidi ya wanafunzi 13 wamefariki dunia huku wengi zaidi wakiwa wamejeruhiwa.
Msemaji wa polisi katika jimbo la Kogi, Hakeem Busari alitoa taarifa kwamba timu za usalama zimetumwa katika eneo hilo, na kwamba uchunguzi kuhusiana na na tukio hilo umeanza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK