AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muda mwingine nadhani Tafiti, licha ya kuwa ni kitu kizuri lakini zimekuja kuharibu maisha yetu kwa vitu tulivyokua tumezoea!
Muda mwingine pia tunapata maarifa ambayo hatukustahili kujua kwasababu ya jinsi yanavyokwenda kutuathiri katika maisha yetu kwa muda mrefu.
Sasa sikia hii juu ya tafiti kutoka kwa waziri wa afya wa Afrika ya kusini, dunia imeshangazwa baada ya kuambiwa kuwa doggy style ile ya wakati wa kukutana kimwili na mpenzi wako kuwa ni hatari kwa afya na inaweza sababisha cancer.
Doooh utaambia nini mpenzi wako baada ya kusoma utafiti huu!
Swali moja ambalo tunajiuliza inakuaje staili hii pendwa inaweza kuwa hatari kwa mtu yoyote?
Haya basi najua wengi tumepigwa na butwaa juu ya jambo hili . Bwana Aaron Motsoaledi aliyefanya utafiti amesema ‘doggy’ wakati wa kujamiina inaweza kuwa chanzoo kikubwa cha ugonjwa wa cancer’. Anasema imemchukua miaka 3 kupata majibu ya utafiti huu bado am wondering is utafiti ni kweli au upuuzi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK