Zamaradi Ajitolea Kumlea BINTI wa Shule Aliyefiwa na Wazazi Wake Wote

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Zamaradi Mketema aguswa na kuamua kutaka kumsaidia mtoto huyo wa miaka 16 aliyemaliza kidato cha 4 mwaka huu ambaye amefiwa na wazazi wake wote pamoja na ndugu zake watatu kwa mpigo

"Sina Utajiri na bado sijafika, na najua nina matatizo mengi sana kama mwanadamu, lakini kutoka moyoni huyu mtoto kama hana watu wa kuishi nae na kama nitaruhusiwa na ndugu waliobaki NAOMBA NIJITOLEE NIMLEE KWANGU, KAMA NITARIDHIWA NA WAHUSIKA, najua kwasasa anahitaji watu zaidi kuliko kingine kwenye maisha yake, niko tayari kuwa huyo mtu, nitahangaika nae tu, kwa mwenye contact za wahusika aje DM, kama mzazi nimewaza angekuwa mwanangu aisee halafu nashindwa" ameandika Zamaradi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad