Ahukumiwa Jela miaka 30 kwa kosa la kumbaka Bibi wa miaka 60

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkazi wa Kijiji cha Nange Mkoani Mwanza, Shabo Marando mwenye umri wa miaka 47 amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kumbaka Bibi wa miaka 60.

Hukumu hiyo imetolewa mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza Esther Malick baada ya kupitia ushahidi wa upande wa mashtaka uliokuwa na Mashahidi wanne.

Shahidi wa tatu Dkt Judith Kiwango wa Hospitali ya Wilaya hiyo amesema baada ya kumfanyia uchunguzi Bibi alimkuta na michubuko sehemu za siri na manii, Shahidi wa Pili Sama Luheka amesema alisikia kelele kichakani aliposogea alimkuta Mtuhumiwa akimbaka Bibi.

Bibi huyo ameiambia Mahakama kuwa siku ya tukio Mtuhumiwa alimkuta shambani akikusanya kuni akamkamata kwa nguvu na kumvutia kichakani kisha kumbaka.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad