AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika Mkoa wa Dar na kusababisha sehemu mbalimbali kujaa maji, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imesitisha huduma za mabasi hayo katika njia ipotayo Jangwani eneo la Mto Msimbazi
DART imewashauri wasafiri kutumia usafiri mbadala wafikapo Kituo Kikuu cha Morocco ili kufika Mjini Kati au Kariakoo, na kwa wanaotoka Mjini Kati au Kariakoo wanashauriwa kutumia usafiri mbadala hadi Morocco ambapo wanaweza kuendelea kupata mabasi ya DART
Aidha, imeainisha kuwa, licha ya kutokea mafuriko Jangwani, huduma ya Mabasi ya Mwendokasi inaendelea katika njia za Kimara hadi Magomeni Mapipa, Kimara hadi Morocco na Gerezani hadi Muhimbili
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK