Baada ya Ndoa yake Kupasuka, AMBER Rutty Ajitosa Kutangaza Kutaka Kuoa Mwanaume..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya ndoa yake kupasuka kisha kusherehekea kuwa singo, Amber Rutty ajitosa kutangaza kutaka kuoa mwanaume !

"Nimetumia muda mwingi sana kujiuliza ni jinsi gani naweza kuyamudu mapenzi, nimekuja kugundua njia rahisi sana tena wala sio ya kutumia nguvu nyingi, jamani natafuta mwanaume wa kumuoa, nitatoa barua, mahari na kila kitu, ili akinizingua namuandikia talaka asepe zake" amesema socialite huyo mwenye vitimbi

Toa maoni yako kuhusu kauli hiyo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad