Bunju kwa Simba Kumekucha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamia ya mashabiki wamejitokeza kwenye uzinduzi wa Uwanja mpya wa Simba uliopo Bunju.
Tangu saa 1 asubuju mashabiki walianza kuwasili uwanjani hapo wakiwa katika mabasi waliyokodisha na wengine wakiwa katika magari binafsi.

Hali hiyo ilisabbisha foleni kubwa kwenye barabara ya Bagamoyo kutokana na misururu mikubwa ya magari iliyokuwa ikielekea kwenye Uwanja huo.

Hadi Sasa viongozi kadhaa wamewasili akiwemo Mtendaji Mkuu Senso Mazingisa na Kaimu mwenyekiti Mwina Kaduguda.

Wengine ni aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Hassan Dalali wachezaji wa zamani wakiwemo Malota Soma na Abdallah King Kibadeni.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad