AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waandaaji wa tamasha hilo wametangaza rasmi leo Ijumaa kupitia twitter kuwa msanii huyo wa Nigeria ameondolewa. Kwa mujibu wa maelezo yao wamesema huu sio muda sahihi kwa yeye kuja na kutumbuiza. Na walimaliza kwa kuomba radhi.
Hili ni tamasha la pili kwa Burna Boy kuondolewa nchini Afrika Kusini, mwezi uliopita aliondolewa kwenye tamasha la Africa Unite kufuatia kauli yake juu ya sakata la ubaguzi wa wageni (Xenophobia) miezi michache iliyopita.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK