AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu watau wamepoteza maisha yao nchini Canada baada ya ndege walilokuwa wakisafiria kuanguka katika kisiwa cha Gabriola.
Kwa mujibu wa Shirika la Habari nchini humo (CTV) liliripoti hapo jana, Jumatano hakuna wajeruhi wa ajali hiyo.
Kwa mujibu wa CTV, ndege hiyo ilikuwa imetoka kwenye uwanja wa ndege wa Bishop katika jimbo la California nchini Merikani na kuelekea kwenye uwanja wa ndege wa Nanaimo nchini Canada kabla kuanguka kwake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK