AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Mtaa wa Changanyikeni, Kata ya Toangoma katika Wilaya ya Temeke kwa tiketi ya CCM, Suzanne (Dionisia) Kamugisha amekamatwa akidaiwa kuiba Tsh. 12,000,000/=
Inadaiwa juzi, mwanaye aliyeajiriwa katika Duka la Simu alikutwa na hasara ya Tsh. Milioni 12 alipohojiwa alimtaja Mama yake (Suzanne) kuchukua fedha hizo kwaajili ya Kampeni Uchaguzi wa Ndani wa Chama
Viongozi wa Kata hiyo (Diwani, Mtendaji wa Kata na Katibu Kata kupitia CCM) tangu asubuhi ya leo wanashughulikia kumtoa rumande bila mafanikio
Aidha, katika hatua nyingine inadaiwa Wananchi wa Mtaa huo wameanza kuhamasishana kupiga kura ya kutokuwa na imani naye kwenye Mkutano wa Mtaa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK