AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwili wa marehemu umekutwa ukiwa na majeraha mbalimbali kwenye mwili na mikono ikiwa imefungwa waya, tukio limetokea katika maeneo ya Mtaa wa Elikiroa kata ya Lemara, Arusha.
Polisi Mkoani Arusha wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo ili kubaini wahusika waliotenda tukio hilo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK