EXCLUSIVE: Hamisi Kafunguka Baada ya Kutolewa BSS “Nina Ubovu wa Masikio”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kijana Hamisi aliyekuwa akishiriki kwenye mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba ya BSS (Bongo star search) amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kutolewa kwenye mashindano hayo ambayo yamefika katika level ya fainali huku Hamisi akiwa ametolewa baada ya kuingia kwenye kumi bora.

Hamisi amesema wakati akiendelea na mashindano alikuwa hayuko sawa kiafya na kueleza kuwa amekuwa na shida ya masikio kwa muda mrefu na hata walimu wake kwenye mashindano walikuwa wanalijua hilo.

Bonyeza PLAY hapa chini kumsikiliza HAMISI akifunguka zaidi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad