Islamic State Nigeria ‘Limewakata Vichwa Mateka Wakristo’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Moja ya stori ya kuifahamu leo December 28, 2019 ni kundi la Islamic State limetoa video linayodai inaonyesha mauji ya Wakristo 11 nchini Nigeria.

IS linasema kuwa mauji hayo ni sehemu ya kampeni yao ya hivi karibuni ya “kulipiza kisasi cha mauaji ya kiongozi wake na msemaji nchini Syria.

Hakuna taarifa zaidi zilizotolewa kuwahusu wahanga, ambao wote walikua ni wanaume, lakini inasema walikua “wamekamatwa katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita” katika jimbo la kaskazini-mashariki mwa Nigeria la Borno.

Video hiyo ya dakika 56-ilitolewa na ”shirika la habari ”la IS Amaq.

Video hiyo imetolewa tarehe 26 Disemba na wachambuzi wanasema ni wazi imetolewa kwa makusudi katika kuambatana na sherehe za Christmas.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad