Madam Rita wa BSS afunguka kuhusu kumpendelea Hamisi “Simpendelei ila mimi nina hisia sana” – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jaji mkuu wa shindano la BONGO STAR SEARCH Madam Rita ameweka wazi kuhusiana na kile kinachodaiwa kuwa na upendeleo na baadhi ya washiriki wa shindano la BSS kitu ambacho kinaweza kuchangia kuleta kutokuelewana kwa baadhi ya washiriki na kueleza kwamba sio upendeleo bali ni hisia (Emotion) kwa baadhi ya washiriki kitu ambacho kazaliwa nacho.

Mbali Madam Rita ameeleza kufurahishwa kwa shindano la nwaka huu kuwa na vijana wenye vipaji zaidi mashindano mengine ya BSS ambayo yameshawahi kufanyika.

VIDEO:

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad