AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Awali, mwanamke huyo aliwakodi jamaa wawili kwa majina ya Victor da Silva na Miller da Silva Barissa ili wamuue mwanae huyo. Jamaa hao(thugs) walimshushia kichapo kijana huyo hata hivyo walighairi kumuua ambapo mama mtu kuona hivyo alimua kuingia mwenyewe mzigoni kummaliza kumtoa uhai mwanae
Akiwa Mahakamani mwanamke huyo amekiri kuua, lakini amepinga kumuua mwanae sababu ya kuwa shoga kwa kudai mwanae huyo alimtishia kumuua ndipo akamuwahi yeye
Hata hivyo, Daria, baba mdogo/mkubwa wa Lozano akihojiwa na kituo cha TV nchini humo amempinga shemeji yake huyo kwa kusema, Lozano alikuwa ni kijana mpole, mwenye heshima na msikivu pia tayari alikuwa anafanya kazi, isipokuwa tatizo lake ni hiyo sexuality yake na siku zote mama mtu hakupendezwa na ndio sababu ya kumuua
Kwa upande mwingine jamaa waliokodishwa kumuua wao wamehukumiwa jela miaka 21 na miezi nane
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK