AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Burna Boy amepata nominations 6, huku Diamond Platnumz akipendekezwa katika categories 4 ambazo ni Msanii Bora wa Mwaka Afrika, collabo bora ya mwaka(Inama), msanii bora wa kiume Afrika, na digital artist wa mwaka -
Rayvanny amependekezwa vipengele 3 ambavyo ni Wimbo bora wa mwaka afrika(Tetema), chaguo bora la watazamaji Afrika, na msanii bora wa pop wa mwaka Afrika
Nandy amepata nominations vipengele viwili vya msanii bora wa kike Afrika pamoja na msanii bora wa pop afrika
S2Kizzy anawania tuzo ya producer bora wa mwaka afrika
Harmonize amependekezwa kipengele kimoja cha chaguo la wasikilizaji afrika, Marioo kutoka Tanzania anawania
Msanii bora chipukizi
Kwa upande wa Kenya Otile Brown anawania msanii bora wa pop Afrika Huku Kaligraph Jones akiiwakilisha Afrika mashariki katika kipengele cha msanii bora wa hip hop Afrika -
Tuzo hizo zitafanyika tarehe 11 January nchini Nigeria
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK