AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfalme wa BongoFleva Ali Kiba, amemtaja msanii Nay wa Mitego, kama shabiki yake namba moja kwenye upande wa kuangalia picha na video anazoweka kwenye mtandao wa Whatsapp.
Ali Kiba amesema hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, wakati anatambulisha wimbo mpya wa msanii wake Killy kutoka kundi la Kings Music, uitwao Gubu, ambapo aliulizwa kuhusu uwezekano wa Nay wa Mitego kuwepo kwenye tour yake ya AliKibaUnforgettable Tour kwa Mkoa unaofuata.
"Kwa bahati nzuri Nay huwa nachati naye kila wakati, yaani katika mashabiki zangu wanaopenda kuangalia status yeye namba moja, huwa tunawasiliana sana akipata nafasi huwa ananicheki na vilevile tumelizungumza hilo suala, lakini ratiba zake kidogo zimebana kwenye safari ya Iringa, ila safari ijayo atatia mguu" ameeleza Ali Kiba.
Aidha Ali Kiba ametangaza Mkoa wa Iringa, kama ndiyo utafuata kwenye kufanya ziara yake ya kimuziki na kwamba safari hii msanii Christian Bella ni miongoni mwa wasanii watakaoenda kushambulia jukwaa mkoani humo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK