AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hali ya uwanja wa Sokoine Mbeya imeonekana kutokuwa nzuri katika eneo la kuchezea hasa mara baada ya usiku wa kuamkia leo kufanyika tamasha kubwa la msanii wa Bongo Fleva Rayvanny akiwa na diamond Platnumz katika uwanja huo. Hali hiyo mbaya ya uwanja huo imepelekea Bodi ya Ligi kuahirisha mchezo wa Prisons na Yanga ambao ulitakiwa kuchezwa Ijumaa ya kesho na utapangiwa tarehe nyingine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK