AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumzia tukio hilo mama mzazi wa watoto hao Stella Joseph aliwataja watoto hao kuwa ni pamoja na Bashiru Hamady ( 6 ) na Mwanahamis Hamady (4 ).
Alisema watoto hao walikula mihogo mibichi na baadaye walikula mihogo iliyochemshwa huku wakitumia kisamvu kama Mboga ya kula mihogo hiyo ndipo baadaye watoto walizidiwa gafla na kuanza kutapika, ndipo walipogungua kuwa kumbe walikula mihogo mibichi ikiwa na maganda yake, na hivyo kupoteza maisha siku moja isipokua walipishaba masaa mawili tu.
Kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK