Watoto Wawili wa Familia Moja Wafariki Baada ya Kule Kisamvu Cha Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watoto wawili wa familia moja katika Kitongoji wa Endorbo ,kijiji cha Endaghay kata ya Gidas wamefariki baada ya kula kisamvu na mihogo yenye sumu aina ya Cyanide kwa mujibu wa Daktari wa Magonjwa ya ndani kutoka hospitali ya rufaa ya mkoa wa Manyara Dr.Yesige Mutwajaa.

Akizungumzia tukio hilo mama mzazi wa watoto hao Stella Joseph aliwataja watoto hao kuwa ni pamoja na Bashiru Hamady ( 6 ) na Mwanahamis Hamady (4 ).

Alisema watoto hao walikula mihogo mibichi na baadaye walikula mihogo iliyochemshwa huku wakitumia kisamvu kama Mboga ya kula mihogo hiyo ndipo baadaye watoto walizidiwa gafla na kuanza kutapika, ndipo walipogungua kuwa kumbe walikula mihogo mibichi ikiwa na maganda yake, na hivyo kupoteza maisha siku moja isipokua walipishaba masaa mawili tu.

Kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad