Aliyembagua Balotelli Kafungiwa Miaka Mitano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 38 amefungia kwa miaka mitano kutohudhuria shughuli yoyote ya kimichezo, baada ya kukutwa na hatia ya kumbagua mshambuliaji wa Brescia Mario Balotelli.

Katika tukio hilo lililotokea November 3 2019 limetolewa maamuzi jana, ikiwa Polisi wa Verona wamepitia na kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na ubaguzi huo uliofanya Balotelli akamate mpira ukiwa mchezoni na kuupiga nje.

Kitendo cha kuupiga nje mpira Balotelli na kutishia kususia mchezo kulifanya mchezo huo kusimama kwa dakika kadhaa kabla ya Balotelli kushawishiwa ma kuendelea na mchezo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad