AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na diwani wa kata ya MWANGA Ujiji Kigoma mjini Baba Levo ameongea akijivua kuwa mkoa wa Kigoma kuwa na vijana wenye vipaji lakini akiwashauri Ali Kiba na Diamond kuwa “waachane na tofauti zao waijenge Kigoma ila kama hawataki basi wavurugane sisi tupige pesa kwenye mashow yao “
Mbali na hilo amemtaka Peter Msechu kumlipa hela zake lakini amezungumzia kuhusu ugomvi uliodaiwa kuwepo kati ya Shilole na mume wake Uchebe
By Ally Juma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK