Baba Levo awachana Diamond na Alikiba “Kama hawataki kuelewana waendelee kugombana sisi tule hela zao”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii na diwani wa kata ya MWANGA Ujiji Kigoma mjini Baba Levo ameongea akijivua kuwa mkoa wa Kigoma kuwa na vijana wenye vipaji lakini akiwashauri Ali Kiba na Diamond kuwa “waachane na tofauti zao waijenge Kigoma ila kama hawataki basi wavurugane sisi tupige pesa kwenye mashow yao “



Mbali na hilo amemtaka Peter Msechu kumlipa hela zake lakini amezungumzia kuhusu ugomvi uliodaiwa kuwepo kati ya Shilole na mume wake Uchebe


By Ally Juma.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad