Canada yawatolea wito raia wake walioko nchini Iraq kuondoka haraka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Canada yawatolea wito  raia wake walioko nchini Iraq kuondoka haraka iwezenakanavyo nchini humo.

Canada yawatolea wito raia wake walioko nchini Irak kuondoka nchini  Iraq kufuatia mauaji ya jenerali wa jeshi la Iran alieuawa katika shambulizi lililoendesha  na jeshi la Marekani.

Jenerali  Qassim Soleimani  aliuawa katika shambulizi  lililomlenga mjini Baghdad.

Wizara ya mambo ya mambo ya nje ya Canada  imetoa  tahadhari kwa raia wake kujielekeza nchini Iraq na kuwatolea witoo walipo nchini humo kuondoka haraka iwezekanavyo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad