AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Canada yawatolea wito raia wake walioko nchini Iraq kuondoka haraka iwezenakanavyo nchini humo.
Canada yawatolea wito raia wake walioko nchini Irak kuondoka nchini Iraq kufuatia mauaji ya jenerali wa jeshi la Iran alieuawa katika shambulizi lililoendesha na jeshi la Marekani.
Jenerali Qassim Soleimani aliuawa katika shambulizi lililomlenga mjini Baghdad.
Wizara ya mambo ya mambo ya nje ya Canada imetoa tahadhari kwa raia wake kujielekeza nchini Iraq na kuwatolea witoo walipo nchini humo kuondoka haraka iwezekanavyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK