Mama Wema Amkoromea Mwandishi "Mambo ya Kukonda Kwa Wema Msiniulize Mimi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Wema amkoromea mwandishi wa udaku baada ya kumuuliza kuhusu Sweetheart kujikondesha sana

"Sitaki kuzungumzia suala lolote linalomhusu Wema wala kitu chochote. Tayari ameshakua mtu mzima, ana maisha yake, mimi pia nina maisha yangu. Kwanza kwa nini mambo yake mniulize mimi? Sitaki kuongea chochote,” Mama Wema kwa sauti ya ukali alimjibu paparazzi wa GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad