AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji huyo wa Kenya amesema kimwili kamwe hakuwahi kuvutiwa na Vera hata siku moja isipokuwa Vera ndie alianza kumtongoza mwenyewe wawe wapenzi -
Otile alikuwa akijibu madai kuwa alitoka kimapenzi na socialite huyo ili kujipatia umaarufu ambapo anasema yeye alikuwa tayari ni maarufu hata kabla hawajawa wapenzi na Vera -
Wawili hao penzi lao lilivunjika 2018 ambapo Vera alijitosa kumlipua Otile kuwa kitandani alikuwa bure kabisa hakuwa akimridhisha Pia Vera alidai Otile alikuwa kapigika kipesa hivyo alikuwa tegemezi Kwake -
Hata hivyo, Otile amesema kwa namna moja au nyingine penzi na Vera ilisaidia career yake kimuziki
Kwasasa Vera anatajwa kutoka na Jimmy Chansa ambaye ni Daktari na msanii chipukizi Bongofleva
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK