AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha wa Simba, John Bocco leo ameongoza kikosi chake kushinda mabao 3-1 dhidi ya Zimamoto kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi.
Simba ilianza kupata bao la kwanza dakika ya nne kupitia kwa Bocco aliyemalizia pasi ya Ibrahim Ajibu kabla ya bao la pili kuandikwa na Sharaf Shiboub dakika ya tisa na Zimamoto waliandika bao la kufutia machozi dakika ya 28 kupitia kwa Ahmad.
Kipindi cha kwanza kilikamilika kwa Simba kuwa mbele kwa mabao 2-1 na waliongeza bao la tatu na mwisho dakika ya 53 kupitia kwa Ajibu akimalizia pasi ya Shiboub.
Sasa Simba inatinga hatua ya nusu fainali itamenyana na bingwa mtetezi Azam FC.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK