Statement ya Simba SC Kuhusu Kauli ya Kabwili wa Yanga SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni siku moja imepita toka golikipa wa Yanga SC Ramadhani Kabwili kuituhumu club ya Simba SC kuwa iliwahi kumuahidi hongo ya gari Toyota IST, endapo angekubali kujipatisha kadi ya tatu ya njano katika mchezo dhidi ya JKT Tanzania, ukiwa ni mchezo mmoja kabla ya game ya watani wa jadi.

Kama Kabwili angefanya hivyo kwa madai yake anasema kwa kuwa angekosa mchezo unaofuata kikanuni, kiongozi huyo wa Simba SC aliyemtaka kufanya hivyo aliamini kukosekana kwake kungelazimika Yanga kumchezesha Kindoki ambaye kimsingi kwa wakati huo alikuwa hafanyi vizuri katika soka.

Leo Simba SC imetoa msimamo wake na kueleza kukerwa na kauli ya Kabwili ila haijachukua hatua yoyote kwakuwa, mamlaka husika (TFF) imechukua hatua za haraka kuhusiana na hilo, hivyo kama Simba SC imeliachia mamlaka husika kuhusiana na hilo

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad