Uongozi Simba Kujibu Tuhuma za Kabwili leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo utalitolea ufafanuzi suala la madai ya mlinda mlango wa Yanga, Ramadhan Kabwili kudai kuwa aliahidiwa gari aina ya Toyota IST endapo angefanya makusudi ya kutocheza mchezo wao wa msimu uliopita 2018/19.

Kabwili alidai kuwa, kuna watu ambao anadai walikuwa ni viongozi wa Simba walimfuata na kumtaka afanye makusudi kwenye mechi zake apate kadi ya njano ili asipangwe kwenye kikosi kwa kuwa alikuwa na kadi mbili za njano.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa watajibu tuhuma alizotoa mchezaji huyo ila cha msingi awe na ushahidi.

" Tutajibu tuhuma za jumla jumla alizotoa huyu mchezaji kwa klabu yetu. Muhimu wakati huu akijiandaa kikamilifu na ushahidi wa hizo tuhuma," .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad