Vita ya Viungo Simba vs Yanga...Niyonzima Kaleta Balaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katika mchezo wa Jumamosi iliyopita  wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya Yanga, kulikuwa na vita kubwa ya katikati ya uwanja. Mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam, ulimalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2.

 

Tazama hapa jinsi ilivyokuwa: SIMBA Clatous Chama Jumla ya pasi ni 40, kuharibu mipango mara moja, hajapiga pasi ndefu. Shuti lililolenga lango ni moja. Jonas Mkude Jumla ya pasi 56, kuharibu mipango mara tatu, pasi ndefu tatu, kupoteza moja.

 

Mzamiru Yassin Jumla ya pasi 49, kuharibu mipango mara moja, pasi ndefu tatu , kupoteza moja. YANGA Balama Mapinduzi Alimaliza mchezo huo akipiga jumla ya pasi 36.

 

Mashuti alipiga matatu, moja likalenga lango na kuwa bao. Abdulaziz Makame Alipiga jumla ya pasi 21, akaharibu mipango ya timu pinzani mara tano, akapoteza pasi saba, akafanikiwa kupiga pasi za mbali mbili. Haruna Niyonzima Jumla ya pasi ni 53, amepoteza tatu, pasi ndefu mbili, kuharibu mipango mara tatu.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad