AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BAADA ya bosi wa Cash Money Bryan, Williums Birdman kusumbuana kwa muda mrefu na rapa Lil Wayne, bosi huyo amefunguka kuwa kwa sasa wako poa sana na wanazungumza vizuri.
Wawili hao wametajwa kuwa katika bifu zito tangu mwaka 2015 ambapo Wayne alisema kuwa anamdai Birdman na Cash Money Record zaidi ya dola milioni 50 ambazo ni zaidi ya bilioni 115 za madafu kama fidia baada ya lebo hiyo kuvunja mkataba na kuichelewesha album yake ya Carter V.
Akizungumza katika kipindi cha Dj Akademiks, Birdman aliweka wazi mahusiano yake na Wayne pamoja na wasanii wengine aliofanya nao kazi Cash Money kama Nick Minaj na Drake na kudai kuwa kwa sasa wamemaliza tofauti zao na hawana tatizo.
“Ni kweli nimekuwa katika mgogoro na mtoto wangu Lil Wayne, lakini kwa sasa tumeshazimaliza tofauti zetu na tunazungumza sana, lakini pia nina mahusiano mazuri na Drake na kila siku ninamtazama Nick Minaj kama mdogo wangu wa kike,” alisema Birdman.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK