Breaking News: Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe Ajivua Uanachama wa CHADEMA na Kujiunga CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


'Kuanzia leo Februari 15, 2020 ninajivua Ubunge wangu na nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, na nimeamua kujiunga na CCM' - Cecil Mwambe aliyekuwa Mbunge wa Ndanda.

Katika Uchaguzi mkuu uliofanyika 2015,Cecil Mwambe akiiwakilisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alipata kiti cha Ubunge katika Jimbo la Ndanda mkoani Mtwara kwa kuwa na kura 26,247, huku Mariam Kasembe wa Chama cha Mapinduzi kukikosa kiti hiko kwa kupata kura 26,215.

7 Oktoba 2019 akiwa Mtwara, Cecil Mwambe alitangaza kuwania uenyekiti wa CHADEMA taifa. 19 Desemba 2019 Matokeo yalipotangazwa, Bwana Cecil Mwambe alipata Kura 59 sawa na asilimia 6.2, huku Mshindani wake Freeman Aikael Mbowe akipata kura 886, sawa na asilimia 93.5.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad