AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Injili Emmanuel Mbasha, amewajia juu watu ambao wanamuuliza kuhusu hatma ya Muna Love ambaye taarifa zinasema ameolewa na kubadili dini kuwa muislam na video zinamuonyesha akifunga ndoa ya kiislam.
Taarifa hizo za kuolewa na kubadilisha dini zilisambaa zaidi siku ya jana Februari 7,2020 kupitia mitandao ya kijamii, baada ya Muna Love kuomba kupumzika kutumia mtandao wa Instagram kwa muda.
Kwa Upande wa Emmanuel Mbasha amefanunua zaidi juu ya suala hilo na ametaka watu wamkome kumuuliza kwa sababu sio mume wake na anachojua kuwa Muna ni mpambanaji wa Yesu na mfanyabiashara.
"Jamani nawaomba sana naona simu nyingi na message kuhusu kutaka interview, nasema mimi sio mme wa Muna mnikome kama anaolewa nifanyeje sasa, ninachokujua kuwa Muna ni kamanda wa Yesu, mpambanaji, na mfanyabiashara. Huko ana-shoot filamu yake, msinisumbue nazima simu imekua kero msinisumbue mpigieni mwenyewe" ameandika Emmanuel Mbasha
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK