AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Video Queen, Sandra Khan maarufu kama ‘Binti Kiziwi’ amerejea kimya kimya nchini Tanzania Disemba 2019 baada ya kumaliza kifungo cha miaka 8 jela kwa kosa la kusafirisha madawa ya kulevya.
SOMA HABARI HIZI KUPITIA APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD > HAPA
Mrembo huyo ambaye alifungwa Hong Kong China mwaka 2012 kwa kosa hilo, alimaliza kifungo chake Disemba mwaka 2019, na baada ya hapo alirudishwa nchini Tanzania.
Ijumaa hii muimbaji, Z Anto ambaye alimtambulisha mrembo huyo kwenye tasnia ya sanaa kupitia wimbo Binti Kiziwi, amlitembelea na kuzungumza naye mawili matatu kuhusu maisha yake mapya baada ya kurejea uraiani.
Bongo5 imezungumza kiundani na Binti huyo, Taarifa kamili inakuja.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK