AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Hawa Juma (35) mkazi wa Kijiji cha Isikizya wilayani Uyui Mkoa Tabaro ameuawa kwa kuchomwa mkuki mgongoni na mumewe alipokuwa amelala nyumbani kwake.
Uchuguzi wa awali wa polisi unasema chanzo cha tukio hilo ni wivu wa mapenzi na mtuhumiwa ameshakamatwa na jeshi la polisi mkoani humo.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa,amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo saa nne.
Amesema mtuhumiwa huyo ambaye jina lake ni Omary Kabi,alimchoma mkewe Hawa Juma Seif (35) na mbinu aliyotumia ni kumvizia.
“Kama huyu mwanaume sasa anakabiliwa na kesi na kuiacha familia haina mwangalizi na akifungwa na familia inabaki inateseka,”amesema Mwakalukwa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK