Makubwa..Auawa kwa Kuchomwa Mkuki Kisa Mapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Hawa Juma (35) mkazi wa Kijiji cha Isikizya wilayani Uyui Mkoa Tabaro ameuawa kwa kuchomwa mkuki mgongoni na mumewe alipokuwa amelala nyumbani kwake.

Uchuguzi wa awali wa polisi unasema chanzo cha tukio hilo ni wivu wa mapenzi na mtuhumiwa ameshakamatwa na jeshi la polisi mkoani humo.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa,amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo saa nne.

Amesema mtuhumiwa huyo ambaye jina lake ni Omary Kabi,alimchoma mkewe Hawa Juma Seif (35) na mbinu aliyotumia ni kumvizia.

“Kama huyu mwanaume sasa anakabiliwa na kesi na kuiacha familia haina mwangalizi na akifungwa na  familia inabaki inateseka,”amesema Mwakalukwa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad