AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanafunzi wa Kitanzania ambaye yupo China ameelezea kuhusiana na video inayosambaa katika mitandao ya kijamii ambayo inaonesha Watanzania wakiomba kurudi nyumbani
Amesema tatizo sio kukosa nauli, bali viwanja vya ndege na njia nyingine za usafiri katika miji waliyopo wamezuiwa kutoka kwa hofu ya kusambaa zaidi kwa virusi vya Corona
Amesema kuwa watanzania sio wa kwanza kuomba Serikali yao kuwachukua, kuna baadhi ya raia waliopo Wuhan waliomba msaada kwa Serikali zao na wakaondolewa
SOMA HABARI HIZI KIRAHISI KUPITIA APP YETU YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD HAPA
Kuna utaratibu ambao Serikali inaweza kufuata ili kuwatoa raia wake nchini humo na kuwarudisha nyumbani. Video hizo zinaonesha wanafunzi hao wakiwa na mabango yaliyoandikwa kuwa wao bado hawajaambukizwa virusi vya Corona
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK