Nandy "Kina Vanessa Mdee na Ruby Kwangu Wanasubiri Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Mimi ukiniambia msanii bora wa kike namba moja, lazima sasa hivi nitajitaja mie, japo zamani namba moja yangu alikuwa Lady Jaydee, na nitaendelea kumuheshimu siku zote kwa kuwa amenitangulia kimuziki,” alisema Nandy.

Nandy : Hao kina Vanessa,Rubby kwangu wanasubiri- MSANII wa Bongofleva, Nandy -Lady Jaydee,
MSANII wa Bongofleva, Nandy amesema yeye ni msanii wa kike namba moja Tanzania.

Nandy, ambaye jina lake halisi ni Faustina Charles Mfinanga, amesema kabla ya kuwa Na.1, namba moja wake alikuwa ni Lady Jaydee, lakini bado ataendelea kumheshimu kwakuwa amemtangulia.

“Mimi ukiniambia msanii bora wa kike namba moja, lazima sasa hivi nitajitaja mie, japo zamani namba moja yangu alikuwa Lady Jaydee, na nitaendelea kumuheshimu siku zote kwa kuwa amenitangulia kimuziki,” alisema Nandy.

Aidha, Nandy alipoulizwa kati ya wanamuziki Vanessa Mdee, Ruby na yeye, nani Na.1, pia alijibu bado atakuwa yeye kutokana na kujiamini na uwezo wake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad