Serikali Yatangaza Nafasi za Kazi 1000 za Madaktari....Bofya Hapa Kujua Zaidi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali Yatangaza Nafasi za Kazi 1000 za Madaktari....

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Ofisi ya Rais - TAMISEMI) imepata kibali cha ajira ya Madaktari 1000 watakaofanya kazi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Hivyo, Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuwatangazia Madaktari wa Binadamu na Meno waliohitimu katika vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali kuwasilisha maombi ya nafasi za ajira kuanzia leo tarehe 24/03/2020 ili kujaza nafasi mbalimbali katika Hospitali za Halmashauri na Vituo vya Afya

Bofya link ifuatayo kusoma zaidi na kuapply

BOFYA HAPA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad