AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji na Mshereheshaji wa Maisha Club HK amefunguka haya Kuhusu Marehemu Mzee Mengi:
"Baba umeondoka na roho yako. Waliobaki wanashindwa hata kutununulia maski Masikini. Ndio kwanza wanatulingishia na Mask zao za bei. Mungu akuweke mahala pema peponi. AMEN #coronaNoma" HK
Ikumbukwe Mzee mengi kabla ya uhai wake alikuwa mstari wa mbele katika kusaidia watu hasa katika majanga mbali mbali, pia alikuwa mstari wa mbele kuwakumbuka walemavu ambapo kila mwaka alikuwa anawafanyie sherehe ya kipekee kuburudika nao
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK