Mwanamke Chezea Pesa, Mshahara, Mali Hata Kazi Chezea ila Usicheze na Umri au Muda....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kipindi nasoma sekondari tulikuwa na kijimsemo kuwa TIME IS MAKANGABILITY tukimanisha muda haupo upande wetu yaani tumechelewa.

Naomba nitoe onyo kwa akina dada hasa wasomi ambao ndiyo huwa wanajiona ukisoma kila kitu kimekwisha.


Kama kuna vitu mdada akikosea timing anaweza juta maishani ni pamoja na MUDA WA KUOLEWA (married is timing for girls). Sababu ni kama zifuatavyo hapa down.

Mosi, mdada huwa anaanza kuvutia kati ya umri wa miaka 15-25, kipindi hiki hutuvutia sana sisi wanaume reference(mimba za mashuleni hasa sekondari 14-18). Kipindi hiki 14-18 binti huwa kama UA WARIDI huku wanaume tukiwa VIPEPEO kumfuata kila aendapo, kwa mdada mjanja hapa huanzisha uhusiano kisiri na mkaka anaye mzidi kidogo (FORM ONE na FORM4). Hii ni ratio murua hapa binti kipindi anamaliza form six bfriend wake atakuwa namalizia chuo hivyo akiwa chuo ataolewa au akimaliza(kumbuka huwa kuna changamoto za kukosa kazi).

Pili, ni kwa kipindi hiki cha miaka 18-22, binti hufuatwa na wanaume wengi wazuri, wenye maono na nia ya kuoa, sababu huvutia na waoaji huwa kati ya miaka 25-28 ni wengi sana. Wasichana wengi katika umri huu huwa ndiyo wamekolea katika kula hujana, sababu huwa ni kipindi cha kupata uhuru(freedom gain) hapa achungwi tena na wazazi, walimu na watu wengine wanao mtakia mema. Wengi huona kuolewa km kifungo na huepuka ndoa.

Tatu, kati ya umri wa 23-25, hapa wengi wanaachana sana na bfriend wao wa zamani sababu ya kufuatwa na wanaume wengi ambao pengine wanasifa za ziada kuliko wazamani(kipya kinyemi walisema wahenga). Shida huibuka wanaume wengi wanaowafuata huwa wameshindwana na wadada wa type kama yao hivyo hujikuta wakitua kwa watu wale wale hivyo wakishaona hivyo ni kula na kuondoka bila kushukru ama kuosha vyomba sababu hapa mwanaume huona kila mdada ni malaya hana mapenzi ya dhati hivyo mipango ya kuoa siyo defined tena.

Nne, 25-28, hapa ni kipindi cha kujifariji "soon i will find me life partner" ila mambo huwa tofauti jamaa(wanaume) mchezo ni uleule kula na kusepa(eat and run) ghafla msichana hushutuka yuko 30 tayari, wachache km kwao wako vizuri kukimbilia shule(kufanya masters) wakidhani wakija maliza shule watakuwa wamepata wenza hali huwa tofauti wamalizapo shule bila kutimiza matarajio.

Tano, 30 onwards! Tunasema CONFUSION TIME, hapa mdada hajielewi tena hachagui tena, utamkuta ana elimu, kazi nzuri, wengine wana nyumba, na pesa za kutosha ila hawana MUME, uamuzi wa mwisho ni kuzaa bila mume, mara nyingi huzaa na waume za watu, au hujibamiza kwa masingle dady au janaume lolote ili watoe nuksi wakidhani wamemaliza kazi ghafla life husonga mbele mtoto akikua anadai baba ndipo mama hutambua alizaa na baba wa watoto wengine atajisikia upweke usio na kipimo kulea mtoto mwenyewe regardless she has everything.

ANGALIZO:
Wanaume 18-22_waoji ni wachache, wengi hapa wanaoa wasioenda shule.

23-25 waoaji wapo ila ni wachache wale wanaolipoliwa mahari na wazazi wao.

26-30 hapa waoji ni wengi mno na hulenga kuoa mabinti wa miaka 20- 24(most preferably).

30 onwards, hapa wanaume hupungua sana, wamechanganyika na WAGANE, MASINGLE DADS, MICHEPUKO YA KIUME .

ONYO KWA WADADA;
Chonde chode, ndoa ni mhimu sana siyo kama mnavyodhania, sababu ya upuuzi wenu wenda msione haya nisemayo but wahenga walishaniwahi na kusema UJANA MAJI YA MOTO FINAL UZEENI, siyo mbali hivyo at 30 yrs mtakuja na majibu hapa.

Girls plan your married for betterment of yours and your children.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Very true, we waache waendelee kula ujana na kununuliwa Iphone7, wataishia kuliwa then watu wanasepa kisela, bila hata kushukuru....dadadeki.

    ReplyDelete

Top Post Ad