Nahodha wa Aston Villa Jack Grealish aomba radhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nahodha wa timu ya soka Aston Villa Jack Grealish ameomba radhi baada ya kupigwa faini kwa kosa la kuvunja sheria zilizowekwa na serikali ya nchi hiyo za kuwataka wananchi kubaki nyumbani, ili kuzuia ya maambukizi ya Corona

Siku moja kabla ya tukio hilo Grealish alihusishwa kwenye ajali jijini Birmigham baada ya kuonekana kwenye picha karibu na tukio hilo, ikisemekana ilitoka kumtembelea rafiki yake. #KilichoBoraKabisa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad