AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais John Magufuli amesema hadi leo Jumapili Machi 22, 2020 watu 12 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona, Awali walikuwa sita.
“Wagonjwa wa corona Tanzania wamefikia 12, wanne ni Raia wa nje na wanane ni Raia wa Tanzania, kwa bahati nzuri wote wanaendelea vizuri, hatuna kifo na hata mgonjwa wa kwanza wa corona Tanzania kutoka Arusha (Isabela) amepimwa na kukutwa negative”- Rais Magufuli.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK