WEMA na Kajala Bado Haziivi....Nini Kipo Nyuma ya Pazia?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

“Watu wengi sana wananikosea, lakini ukweli ni kwamba siwezi kukaa na kinyongo kwa muda mrefu moyoni mwangu, mimi huwa nasahau na kusamehe pia kisha mwisho wa siku namuachia Mungu ndio anadili na wabaya wangu,” Wema ameliambia Ijumaa -

Wema ameongeza kuwa, ukiona amemchukia kweli mtu, basi ujue kuna kitu kikubwa kamfanyia -

Kwa upande mwingine inaelezwa hadi sasa Wema na Kajala haziivi kabisa, Kutokana na kauli ya Wema Sepetu basi inaonekana kuna kitu kikubwa sana alimfanyia ambacho hawezi kusamehe

Kipindi cha nyuma walipokuwa marafiki Wema Sepetu alisha muokoa Kajala na kifungo cha miaka 7 jela kwa kumlipia faini ya Tsh 13milioni
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad