Bei ya Mafuta Yashuka....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bei ya mafuta imeshuka kwa kiwango kikubwa ambacho hakijawahi kuonekana kwa zaidi ya miongo miwili wakati wafanyabiashara wakizidi kuingiwa na wasiwasi kwamba hifadhi zao zinaelekea kufikia kikomo.

Dalili zinazonesha kwamba nchi za Ulaya na Marekani ambazo zimezongwa na janga la virusi vya Corona huenda zimeshindwa kuzisaidia hisa za nchi za Asia kuongeza viwango vyao vya bei za hivi karibuni.

Wachambuzi wanasema hatua ya makubaliano yaliyofikiwa mwezi huu kati ya wazalishaji wakuu wa mafuta duniani ya kupunguza uzalishaji kwa mapipa milioni 10 kwa siku imeleta matokeo machache katika mgogoro wa mafuta kutokana na kuwepo hatua za nchi kufunga shughuli za kibiashara pamoja na kusimama kwa safari za ndege, hatua ambazo zimewafanya mabilioni ya watu kubakia majumbani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad