AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji Star kutokea Nigeria Davido amethibitisha tena kuwa mchumba wake Chioma aliyekutwa na virusi vya corona amepona baada ya kufanyiwa vipimo mara mbili.
Kama utakumbuka hapo awali Mchumba wa Davido ( Chioma ) alichukuliwa vipimo March 25 na kugundulika kuwa alikuwa amepata maambukizi kisha akatengwa kwaajili ya uangalizi zaidi.
Baada ya siku 25 kupita Davido amekuja kuthibitisha kuwa mpenzi wake Chioma amepimwa na kukutwa hana tena ugonjwa wa Corona.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK