AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji Ibraah kutokea lebo ya Kondegaing inayoongozwa na Harmonize amezungumza na kueleza alivyosota kwa kipindi kirefu baada ya kuishia Darasa la saba huku wazazi wake wakikosa uwezo wa kumuendeleza kielimu.
Ibraah amefunguka mengi ikiwemo la yeye kufanya kazi ya ufundi seremala ili ajipatie ridhiki. Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama akifunguka zaidi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK