AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati akitoa mapungufu ya hotuba ya kambi rasmi ya upinzani, Spika Job Ndugai amesema moja ya mambo yaliyomo katika hotuba ya upinzani ni madai ya mishahara ya Tundu Lissu, ambapo amedai Lissu alipositishiwa Ubunge alikuwa hadai hata mia
Pia kasoro nyingine ya hotuba hiyo ni kunyanyaswa kwa Kiongozi wa Kambi ya upinzani ikiwemo kunyimwa nyumba, gari ambapo aliagiza uongozi wa Bunge kufuatilia
Baadhi ya kasoro alizoanisha ni makosa ya kimaandishi 'spelling mistakes', kuzungumzia mambo ambayo yeye anasema ni kuingilia Uhuru wa Mahakama, kutumia vibaya jina la Rais na mengineyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK