Amuuza Mwanae Baada ya Kufukuzwa Nyumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Binti wa miaka (17), mwanafunzi wa kidato cha pili mkazi wa Kaunti ya Kakamega nchini Kenya, amemuuza mwanaye baada ya kupewa mimba na nduguye wa karibu kisha kufukuzwa kwao.

Taarifa zinasema binti huyo alifukuzwa na baba yake mlezi baada ya kupata ujauzito hivyo mtoto ambaye angezaliwa alionekana kuwa kama ‘laana’ kwa jamii yao na kukiuka tamaduni na desturi zao.

Hata hivyo mama wa binti huyo alilazimika kutafuta mtu wa kumuuzia mtoto, na alilipwa kabla ya binti huyo kujifungua.

Australia yaanza jaribio la kwanza chanjo ya Corona
Mama wa binti huyo anasema walilazimika kumuuza mtoto kwa kuwa wasingeweza kumlea mtoto huyo na ndiyo sababu wakaamua kumuuza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad