AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa meneja wa Baraka the Prince Faky Junior amefunguka sababu zilizopelekea kuacha kufanya kazi na msanii wake
“Sikusaini nae mkataba, alifuta kila kitu na kunitoa kwenye bio ya Instagram bila kunambia kisa nilimtumia hela ya Uber aende nyumbani kutoka kwenye interview ya Clouds FM”
Faky Junior pia amemshauri Barakah the prince endepo atataka kufanya vizuri kwenye muziki na kuachana na utoto akue ndo atafanikiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK