AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki wa Bongofleva Mwenye Miondoko ya "Kufoka Foka" "Trap" Chin Beez Anasema Yeye Hawezi Kuishi Moja Kwa Moja Kwenye Mausiano na Star wa Bongomovie Wema Sepetu Kwa Sababu Zake za Msingi, Ila Moja Alisema Kuishi Nae Wema Sepetu Kwenye Mausiano Moja Kwa Moja ni Changamoto, Kwaiyo Hawezi Kuishi Nae Kwenye Mausiano...Anasema yeye ikitokea yupo nae basi atapiga na kukimbia yaani kwa kizungu Hit and Run
Nini Maoni Yako Kuhusu Swala Hili Tafadhali Tuambie Hapa.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK