Chin Beez Amkataa Wema Sepetu LIVE...."Kama ni Kutoka Nae Yule Niku Hit and Run Siwezi Kukaa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki wa Bongofleva Mwenye Miondoko ya "Kufoka Foka" "Trap" Chin Beez Anasema Yeye Hawezi Kuishi Moja Kwa Moja Kwenye Mausiano na Star wa Bongomovie Wema Sepetu Kwa Sababu Zake za Msingi, Ila Moja Alisema Kuishi Nae Wema Sepetu Kwenye Mausiano Moja Kwa Moja ni Changamoto, Kwaiyo Hawezi Kuishi Nae Kwenye Mausiano...Anasema yeye ikitokea yupo nae basi atapiga na kukimbia yaani kwa kizungu Hit and Run

Nini Maoni Yako Kuhusu Swala Hili Tafadhali Tuambie Hapa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad